FAHAMU NJIA ZA KUANDAA MAZINGIRA YA MAFANIKIO KATIKA MAISHA YAKO.
Fahamu Uandaaji wa njia nzuri za mafanikio Mafanikio katika maisha huandaliwa mapema kabisaa na hayatokei kama bahati mbaya kwa mtu fulani bali huja ni kwasababu ya maandalizi mazuri ambayo mtu amejiwekea na maandalizi yanatakiwa kufanyika mapema sana yani wakati huu wa ujana,kwa ushauri ndugu zangu ujana ni bahati ambayo wengi tumezawadiwa lakini tukitazama kwenye matumizi tunautumia ujana wetu vibaya sana kwa mfano fikiria matajiri wakubwa Tanzania na Africa ambao ni Aliko Dangote,Mohammed dewji,said salim bakhresa,Reginald mengi wangefika walipo kama wangezitumia nafasi za ujanawao vibaya jibu ni hapana basi tujenge urafiki mzuri kati ya ujana wetu na mafanikio katika maisha yetu.hizi ni njia tano za kuandaa mazingira mazuri ya mafanikio, 1.kujiwekea malengo kwa kila mwenye nia y...